Uasin Gishu: Mashirika ya Kutetea Haki Yamlalamikia OCS wa Eldoret Central, Yataka IGP Aingilie Kati
Kulingana na barua yao ya malalamiko, Lenaso anakabiliwa na tuhuma tatu kuu. Kwanza, anatuhumiwa kutumia vibaya madaraka yake ya kipolisi.
Kulingana na barua yao ya malalamiko, Lenaso anakabiliwa na tuhuma tatu kuu. Kwanza, anatuhumiwa kutumia vibaya madaraka yake ya kipolisi.
Sheikh Bini alisema kazi ya vyombo vya usalama ni kumlinda kila Mkenya bila kujali cheo au ushawishi wake kisiasa.
The Magistrate also ordered the unconditional release of a motor vehicle that had been seized from the first accused person during the raid.
The charges have been brought under the Bribery Act, 2016, a law enacted to combat corruption in both public and private institutions.